Hayupo mja duniani asiyekosa asilani wala asitake samahani na imani ya mwenziwe Awe ndugu awe dada, au mwana.. Basi… kama hayupo asiyekosa akaitaka ghufira madhambiye kuondowa na , kwonewa imani na rehema, akawekwe huru nafsiye awe baba au mamaye binti au rafiki Basi, kwake kusahe ni faradhi mja mwene ila, samehe usamehewe Mlokole Mlumbi
Ukumbi huu unalenga kukupa uhondo wa sanaa ya ushairiwa kiswahili. utapata mashairi mengi ambayo nimeyatunga mwenye na mengine yakachapisha kwenye Taifa Leo. Kando na haya utapata kufaidika na makala ya kukuhimiza ikiwa wewe ni mkrsito. Yamkini nitalenga kuwakidhia mahitaji mbalimbali ya kukujengeni. ****** Get entertained with lots of Swahili poems posted daily. Watch movies by going to "movies!!! button. Lots of Items to buy instantly at "Nunua/Buy Items" page and Lots of other good deals!
Comments